Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,
Kainuka na kuanza kumkimbiza kibaka,
Kibaka kuona Bibi hakati tamaa akatupa simu,
Bibi kaikota na kuendelea kumkimbiza kibaka,
KibakaΒ “Bibi kama ni simu yako si tayari umechukua”,
Bibi kajibuΒ “Bado Mtama”
bibi ujinga hapendagi”π‘π‘π‘π‘π‘
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Misemo 17 ya kuchekesha
Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status
Nilichokifanya leo
Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake
Hii dunia kweli haina haki, soma hii
Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake
Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko
Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi