Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Cheki nilichomfanyia boss wangu
Mvua zazua kasheshe! Soma hii..
Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao
Dunia ina mambo, soma hii
Huyu panya wa tatu ni noma
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake
Wazo la jioni hii
BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika