Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Margaret Mahiga

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Simon Kiprono

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏

John Mushi

Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂

Grace Mushi

😂🤣😆👏

Faith Kariuki

Hii ni bomba sana! 🤣👍

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop