Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
Jamaa: Una tatizo gani baby?
Mrembo: Nimetoka hospitali kupima, nna mimba.
Jamaa: Weeh usiniletee balaa hiyo mimba imeingiaje wakati huwa tunatumia kinga?
MremboΒ Kwani nani kakwambia mimba ni yako, hebu tuliza mshono huo.
πππππππ
MTATUUA
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass
Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa
Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa
Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa
Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi
Angalia Kiingereza kilivyoniponza
Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu
Hii sasa ni kali