Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,
Kainuka na kuanza kumkimbiza kibaka,
Kibaka kuona Bibi hakati tamaa akatupa simu,
Bibi kaikota na kuendelea kumkimbiza kibaka,
Kibakaย “Bibi kama ni simu yako si tayari umechukua”,
Bibi kajibuย “Bado Mtama”
bibi ujinga hapendagi”๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Umetisha! ๐๐
๐ Nacheka hadi chini sasa hivi!
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! ๐
๐ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
๐คฃ Ninashiriki hii sasa hivi!