NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbele, +++ KIBABU kikasimama na kwenda Mbele,
Bi harusi akaanguka na akazimia ghafla!πππ
Mchungaji- Tuambie Babu Pingamizi Lako!
Babu-Nimeamua kuja mbele,kule nyuma sisikii vizuri! watu hoiiii!!
hata mimi hoiβ¦πππππππ
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
ππ ππ
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π