Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wake wa makopo akaona chupa ambayo ndani kuna ki2, alipoifungua likatoka jitu la ajabu. Huku akitetemeka lile jitu likamwambia kijana asante sana kwa kuniokoa omba vi2 viwili sasa hivi. Kijana kwa hofu akaomba pesa za kumiliki magari na majumba ya kifahari. Ghafla fuko la hela na pete ya bahati vikadondoka. Akaambiwa ombi la pili,akasema nibadilishe niwe kivutio ili nipendwe sana nakina dada Hapohapo akageuzwa akawa chipsi yai.!!😂🤣🤣🤣

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Edwin Ndambuki

Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏

Christopher Oloo

Hii imenifurahisha sana! 😂😂

Victor Kamau

😅😂😄

Mwanajuma

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Shukuru

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop