1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
3.Zimwi likujualo= Lilikuona Sehemu.
4.Chelewa Chelewa= Ukizikusanya utapata Ufagio.
5.Hakuna Masika= Wakati wa Kiangazi.
6.Mpanda Ngazi= Asiwe Mwoga kuanguka
7.Dua la kuku=
Bismilah rahman rahim
11.Penye wengi= Pana Ajali au Tukio
12.Ukiona vyaelea= Ujue ni vyepesi.
13.Mwenye nguvu= amekula ugal wa dona(…..)
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂
😅😂😄
Hii imenifurahisha kweli! 😆😂
Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂