Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:
(a)Nyani haoni…..valisa miwani!
(B)Debe tupu….weka dengu!
(c)Masikini akipata….iko acha iba!
(d)Penye kuku wengi…chinja bili,tatu!
(e)Asiyesikia la mkuuu….peleka yeye polisi!
(f)Penye wengi……iko kutano ya chadema!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😂🤣
Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰
😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅