tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka kupanda
Konda- bibi twende sit kibao ata utalala
Bibi – oooh sawa mjukuu
Konda – simama tu apo wanashuka mbele
Bibi – akacheka sana tu
Konda- mbona unacheka bibi
Bibi – mjukuu hawa wote hawashuki wanakufa apo mbele
Watu- simamisha gar
Saiv bibi kabaki mwenyewe amelala sit ya nyuma😆😆😅😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆
Hii ni joke ya kipekee sana! 😂👏
Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂
🤣 Ujuzi wa hali ya juu!
Umetisha! 👌😂