Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwalimu akaona ngoja amuulize.
Mwalimu: Mbona unachelewa kila siku?
Mwanafunzi: Nakaa mbali mwalimu
Mwalimu: (huku ana hasira akauliza)Mbali mbinguni?
Mwanafunzi: Mbinguni kwa mbele๐๐๐๐๐
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii ni ya kufurahisha! ๐๐
Hii imenikuna hadi nina furaha! ๐๐
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐คฃ๐
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! ๐ฏ
๐ Umeimaliza kabisa!