Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na wale wasioukimbilia kwako, hasa maadui wa Kanisa Takatifu, na wale waliokabidhiwa kwako. Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐โค๏ธ๐ Asante Mungu kwa uhai
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐โค๏ธ Mungu ni mlinzi wetu
๐๐โค๏ธ Nakuombea heri