Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukizwa na dhambi, basi sitaki kukosa tena, nitafanya kitubio, naomba neema yako nipate kurudi wkako. Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐๐ Mungu akujalie amani
๐โจโค๏ธ Neema za Mungu zikufunike
๐โค๏ธ๐ Bwana akujalie baraka
Mwamini katika mpango wake.