Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyike
Duniani kama mbinguni
Utupe leo mkate wetu wa kila siku
Utusamehe makosa yetu
Kama tunavyowasamehe
Na sisi waliotukosea
Usitutie katika kishawishi
Lakini utuopoe maovuni.
Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐๐ Nakusihi Mungu
Rehema hushinda hukumu
๐โค๏ธโจ Mungu akujalie furaha
Mungu ni mwema, wakati wote!
Dumu katika Bwana.