Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna gari nzuri hatutembeu kwa mguu
Mimi; ah wap,unadhani ningekuwa tajiri ningekuwa na wewe?ungekuta natoka na kina wema,zariโฆ
๐๐๐
naona anakusanya nguo zake itakuwa anaenda kufua
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐ Naihifadhi hii!
Nimecheka hadi machozi ๐คฃ๐ญ
Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐คฃ๐ญ
Hii ni joke ya kipekee! ๐คฃ๐
Hii imenikumbusha enzi zile! ๐ ๐