Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna gari nzuri hatutembeu kwa mguu
Mimi; ah wap,unadhani ningekuwa tajiri ningekuwa na wewe?ungekuta natoka na kina wema,zariβ¦
πππ
naona anakusanya nguo zake itakuwa anaenda kufua
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
π Naihifadhi hii!
Nimecheka hadi machozi π€£π
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Kichekesho cha mchaga kwa mganga hasikii ladha
Hii imenikumbusha enzi zile! π π