Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna gari nzuri hatutembeu kwa mguu
Mimi; ah wap,unadhani ningekuwa tajiri ningekuwa na wewe?ungekuta natoka na kina wema,zari…
😁😁😁
naona anakusanya nguo zake itakuwa anaenda kufua
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😆 Naihifadhi hii!
Nimecheka hadi machozi 🤣😭
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭
Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌
Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂