MWALIMU kaingia darasani na kusema. “Wanaojijua wajinga wasimame”.
MADENGE akasimama peke yake.
MWALIMU: Wewe ndio mjinga?
MADENGE: Hapana, ila nimeona umesimama peke yako nikaona usijisikie vibaya angalau tuwe wawili.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😆 Hiyo punchline ilikuwa kali!
Hii imenichekesha sana! 😄😂
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂
😆 Ninakufa hapa!
😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!