Yesu aliweka Kitubio na Mpako wa Wagonjwa kwa sababu gani? Yesu aliweka Kitubio na Mpako wa Wagonjwa kwa sababu alijua udhaifu wa binadamu hauishi mara anapopokea uzima wa Mungu kwa sakramenti tatu za kuingizwa katika Ukristo. Hivyo alipanga kusaidia mpaka mwisho wa dunia waamini wake watakaopatwa na dhambi na ugonjwa,…
Tag: Katoliki: Sakramenti ya Kitubio
Mambo ya Muhimu kujua kuhusu dhambi
Dhambi ya asili ndio nini? Dhambi ya asili ambayo binadamu wote wanazaliwa nayo, ni hali ya kukosa utakatifu na hali ya asili ya urafiki na Mungu Adhabu gani walipewa Adamu na Eva? Adamu na Eva kwa ukubwa wa dhambi yao ya kiburi na ya uasi: 1. Walipoteza neema ya utakaso…
Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu
1.Kumdhuru baba mtakatifu kimwili mfano:kumpiga au kumtemea mate 2.Kukufuru Ekaristi Takatifu mfano kutema na kuchezea kwa namna yoyote kama ya kishirikina. 3.Padri kutenda dhambi na muumini mfano : kuzini 4.Askofu kumpa padre uaskofu padre yeyote bila ruhusa ya baba mtakatifu. NB:jiandae kufanya kitubio kama unaguswa na dhambi yoyote kati ya…
Kwa nini Wakatoliki wanaungama dhambi kwa Padri?
KWANINI NYIE WAKATOLIKI MNAUNGAMA DHAMBI KWA PADRE AMBAYE NI MWANADAMU NA MDHAMBI BADALA YA KUUNGAMA MOJA KWA MOJA KWA MUNGU? Pengine umewahi kuulizwa swali hili au umewahi kujiuliza: hapa ni maelezo yatayokusaidia kuelewa sababu (japo sio zote) na uhalali wa jambo hilo. Hapa tunaongozwa na maneno ya Bwana Yesu mwenyewe…