βTiba kwa kutumia majiβ
π§π§π§π§π§π§π§π§π§
Hamuwezi kuamini! maradhi mengi Mwenyezi Mungu amejaalia tiba yake ni kunywa maji, shukrani zote ni zake..
Umoja wa Matabibu wa Japan wametangaza utafiti wao wa kutibu maradhi kwa maji na matokeo yake yamefanikiwa kwa aslilimia 100, kwa maradhi yafuatayo:
kichwa, presha, anaemia (upungufu wa damu) ugonjwa wa viungo, kupooza, kuzima kwa moyo, kifafa,unene, kikohozi, kuumwa koo, pum, kifua kikuu,uti wa mgongo, na mradhu yeyote yanayohusiana na njia za mkojo, asidi nyingi,kufunga choo,na maradhi yote yanayohusiana jicho, sikio na koo, pia kwa wanawake wasiopata ada ya mwezi kwa mpangilio
βΆNjia ya kutibu kwa majiβ
Amka mapema asubuhi kila siku na kunywa glasi nne(4) za maji, glasi ya kiasi cha mil 160. Kunywa wakati tumbo halina kitu na wala usile wala usinywe kabla ya kupita dakika 45 , na usile wala usinywe masaa mawili yanayofuatia chakula
πππππππππ
Kuna baadhi ya watu au wagonjwa na wazee hawataweza kunywa glasi nne za maji kwa wakati mmoja, hawa wanaweza wakaanza kidogo kidogo huku wakiongeza kunywa mpaka wafikie kiwango kilichopendekezwa kwa wakati mfupi
ββ π€π€π€π€ ββ
Na matokeo yamethibiti kwamba tiba ya maji imeleta ponya na maradhi yafuatayo kwa muda maalum kama inavyoonyeshwa hapa chini:
πΉmaradhi ya sukari siku 30
πΉkupanda presha siku 30
πΉmatatizo ya tumbo siku 10
πΉsaratani mbali mbali miezi 9
πΉkifua kikuu na uti wa mgongo miezi 6
πΉkufunga choo siku 10
πΉmatatizo ya njia za mkojo na figo siku 10
πΉmatatizo ya pua, sikio na koo siku 20
πΉmatatizo ya ada za mwezi kwa wanawake siku 15
πΉmatatizo mbali mbali ya moyo siku 30
πΉmaumivu ya kichwa siku 3
πΉanaemia(upungufu wa damu) siku 30
πΉunene miezi 4
πΉkifafa na kupooza miezi 9
πΉmatatizo ya kuvuta pumzi miezi 4
Isambazeni huenda wakafaidika wengine na faida kuenea kwa watu⦠Nawatakia afya na raha kwenu nyote kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.
ππ
Recent Comments