MUME: Mke wangu naomba nikubusu
MKE: Sitaki
MUME: Ntakununulia pete ya gold
MKE: Staki
MUME: Ntakununulia gari
MKE: Sitaki….mtoto wao aliyekuwa kalala alisikia haya maneno ya mwisho
MTOTO: Baba basi nibusu mimi uninunulie baiskeli
BABA: Pumbafu lala huko mjinga mkubwa
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write CommentsViews: 0
Recommended Posts
Ujinga wa ndoto ndio huu
Angalia huyu msichana alichonifanyia
Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani
Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?
Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana
Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili