Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake
Hili nalo neneo.
Ukimuona mbwa๐ถ harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilichomleta pale ndicho kilichokupeleka na wewe hapo
Hili nalo neneo.
Ukimuona mbwa๐ถ harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilichomleta pale ndicho kilichokupeleka na wewe hapo
Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili
(1) Mfa maji ?โฆโฆโฆโฆโฆโฆ.. Tampa life jacket.
(2) Mwenda pole?โฆโฆโฆโฆ Tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ?โฆโฆโฆ.. Mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua ?โฆโฆโฆโฆโฆโฆ Uliza google.
(5) Mbio za utelezini ?โฆโฆ. Chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga ?โฆโฆโฆ Ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea ?โฆโฆ.. iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika ?โฆโฆ Mambie dada tapiga deki.
(9) Chelewa chelewa ?โฆโฆโฆ Takosa guo ya sikukuuโฆ
(10) Kila ndege ?โฆโฆโฆโฆ.. โฆHutua Airport
(11) Bandu bandu ?โฆ.. โฆโฆ.Rafiki yake Jecha
(12) Mtaka cha Mvunguni ?โฆ Ondoa tanda
(13) Simba mwenda kimya?โฆ.Kama sio gonjwa basi haina njaa.
(14) Aisifuye mvua ?โฆโฆโฆ. Najua iko Mkulima hiyo
(15) Barabara ndefu ?โฆโฆ.. Ongeza mwendo au tachelewa fika.
(16) Mlanawe hafi nawe ila?โฆ. Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ? โฆโฆ.. Tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ? โฆโฆโฆโฆ..Tatafuna veve
(19) Mchamba wima ?โฆโฆ.. Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ?โฆ.Kipofu hiyo
(21) Mficha maradhi ?โฆโฆ.. Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ? โฆโฆโฆ.Taenda Chadema
(23) Bendera ?โฆโฆโฆโฆโฆ. Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ?โฆโฆ. Peleka Bombay Lakini sio HB kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ?โฆโฆโฆ. Tapasi mtihani yote
(26) Penye kuku wengi ? โฆโฆ.. Chija bili tatu ivi, hapana mtu najua.
Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ugoogle kisha ucopy na kupaste kwenye booklet yako,
Ghagfla lecturer aningia na wewe kwa woga wako unaficha calculator na kuweka simu mezani,
Hapo ndo utajua shetani naye alikua anasimamia paper.
๐๐๐๐๐
Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
” SIMAMA”
Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama
Pastor akaendelea vizur endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sasa aliyesimama narudia kwa mara ya mwisho kama hujasikia vizuri
” kama wew umewahi kumsaliti au bado unasaliti ndoa yako SIMAMA”
Binti akazimia
Ulishawahi kutana na hiiโฆ.
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:
Jeni:poa aje ww:
Issa:poa nambie
Jeni:poa
Issa :bas poa
Jeni:poaโฆ.
Issa:poa badee basi
Jeni:haya
Issa:bai
๐๐๐๐โฆโฆ..HII KIITALIANO INAITWA LACK OF SOUND ENGINEERING NA HII INASABABISHWA NA UOGAโฆโฆ
MCHUNGAJI; “Unakunywa bia!?
MLEVI; “Ndio.
MCHUNGAJI; “Kwa siku unakunywa bia ngapi!?
MLEVI; “Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; “Bia moja bei gani!?
MLEVU; “2500/
MCHUNGAJI; “Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; “Miaka 18 iliyopita!
MCHUNGAJI; “Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; “Ndio!
MCHUNGAJI; “Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; “Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; “Uliza!
MLEVI; “Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; “Hapana!
MLEVI; “Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; “akasepa”
NAJISIKIA NIMEBOEKAโฆ
SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA
ALAFU NITOKE MBIOโฆ..
๐๐๐๐๐๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ
NIMEKAA NIKAWAZA ๐๐ผ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVI๐๐ป WAAFRIKA HATUYAJUI ๐
KAMA TUNGEKUWA TUNAYAJUA HATA HAWA WAMAREKANI,๐บ๐ธWACHINA๐ฏ๐ต NA HATA WATU WA ULAYA TUNGEKUWA๐ฝ๐ช TUNAWAPITA KIMAENDELEO
MAMBO YENYEWE,,
HATA MIMI SIYAJUI MAANA NA MIMI NI MWAFRIKA ๐๐๐๐
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuniโฆunaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuniโฆ๐๐๐๐
Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, analivaa dela bila nguo ya ndani mbele yako, unazidiwa anakupa kitu fresh unatoka unatabasamu.๐ค๐ฝ๐๐ฝ
Mwanamke wa kitanga:
Unampa hela anapika vitu mtaa mzima unasikia harufu ya chakula, chenji inayo baki ananunua kinga ukirudi unakula afu unakula..๐๐ผ๐๐ผ๐ค๐ฝ๐๐ฝ
Mwanamke wa kihaya:
Unampa hela ukirudi unakuta majirani wote wanataarifa kuwa wew uliacha hela, anakupkia vitu vzuri, usiku anakuhudumia ukimsifia anakuhudumia tena hata mara nne kwa usiku mmoja..we mle sifa tu๐๐ฝ๐๐ฝ๐คธ๐พโโ๐๐ฝ.
Mwanamke wa kichaga:
Unampa hela anaenda ananunua dagaa anapika na michuzi mingi mpaka dagaa wanafufuka unakula kwa shida, dagaa wanakula utumbo wako unakufa.. Madaktari wanajitahidi wanakutibu unafufuka. Ukiwa hujapata akili vizuri anakuletea bili ya umeme, anakukumbusha deni la kwa Massawe, anakukumbusha kodi ya nyumba.. *Unashikwa na presha unakufa moja kwa moja*๐๐ฝ๐๐๐ผโโ๐๐พ๐คธ๐พโโ
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!
Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
Ndio hizi sasa
1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje bure jna la chuo chako mana utawaumiza wengine.
3.Ikumbuke cku uliyochaguliwa na kuiheshimu.
4.Waheshimu tcu, bodi ya mkopo na uongoz wa chuo ili upate kuendelea kuwepo chuon.
5.Usisapu
6.Usidisko
7.Usitumie mkopo ovyo.
8.Usitaman chuo cha mwenzio
9.Usitamani fakat ya mwenzio
10. Usitaman bumu lake wala chochote alichonacho. hahaha chezea chuo weye!
Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?
MKAKA: Samahani sanaโฆ.jamaa akachukua Galaxy yake akapiga simuโฆ.aise saa ngapi saa hizi? mi ndio nimeingia toka USA nataka kurekibisha saa yangu ifwate muda wa huku. Na wewe uwahi kuchukua iPad nimekuja nazo tatu tu za zawadi. Halafu ntafutie mtoto mzuri nimumwagie midola niliyokuja nayo, ok ciao tuonane badae.
MDADA: Kaka samahani saa hizi ni saaโฆ..
MKAKA: Achana na mimi wewe
Ha ha ha ha haaaaa!!
Binti: Hallow mpenzi, Mambo
Jamaa: Poa baby
Binti:Uko wapi?
Jamaa: Niko town napata lunch
Binti: Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi
Jamaa: Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?
Binti: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.
Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.
Binti: Kwanini dear?
Jamaa: Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!
*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata mimbaโฆ
*TEACHER*: _get Out!!!!!!!!!!!!!!_
๐๐
*Upendo wa kweli ni nini?*
*๐Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake na kisha kumwambia baby vaa nguo twende nyumbani*
*Kifo ni nini?*
*๐Kifo ni pale mwanamke anapokubali kwenda nyumbani na mwanaume yule.*
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Recent Comments