Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza “Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi akamjibu No! Mzungu mwengine akapita akamuliza vilevile akajibu No!
Akaona hapa anasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja alikuwa ame2lia. Akamuliza “are u relax? Mzungu akajibu yes jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzako…..Shenz mkubwa mie nasumbuliwa na wenzako kule we umejikausha!!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🤣🤣😂
😊🤣🔥
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆
😂 Lazima nihifadhi hii!