Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza “Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi akamjibu No! Mzungu mwengine akapita akamuliza vilevile akajibu No!
Akaona hapa anasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja alikuwa ame2lia. Akamuliza “are u relax? Mzungu akajibu yes jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzakoβ¦..Shenz mkubwa mie nasumbuliwa na wenzako kule we umejikausha!!
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana
Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani
Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani
Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta
Nilichokifanya kwa rafiki yangu
Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi
Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya