โโโ
Sala ya saa tisa๐๐พ
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. A mina
Yesu, ulikufa, lakini chanzo cha uhai kilitoka kwa ajili ya watu, na bahari ya huruma ilifunguka kwa ajili ya ulimwengu mzima. Ee chemchemi ya Uhai, huruma ya Mungu isiyo na mwisho, ikafunika ulimwengu mzima na ukajimwaga mwenyewe juu yetu.
โฃโโฃ
โEe Damu na Maji, yaliyotoka moyoni mwa Yesu kama chemchemi ya Huruma kwetu. Nakutumainia.
(Mara tatu)
๐โฃ๐
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐โค๏ธ๐ Tumshukuru Mungu kwa yote
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida