Mungu wangu,
nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;
Kwani ndiwe uliyefundisha hayo,
wala hudanganyiki,
wala hudanganyi. Amina
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Mungu wangu,
nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;
Kwani ndiwe uliyefundisha hayo,
wala hudanganyiki,
wala hudanganyi. Amina
🙏🌟 Mungu alete amani
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
🙏🙏🙏
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Rehema zake hudumu milele