1. Mawazo na matarajio yetu
2. Kulenga kutizamwa na watu.
Jambo hili linamchukiza Mungu ndio maana unapoomba kupewa kitu au kusaidiwa kitu Mungu hafanyi /hakupi. Na Mara nyingine hata vile ulivyonavyo unanyan’ganywa kwa kuwa hauombi kwa utukufu wa Mungu bali kwa utukufu wako.
Namna njema ya kuomba ni hii
2. Kutokuomba mambo madogo kwa mawazo labda nikiomba makubwa Mungu hataweza
3. Kutokuomba kwa ajili ya kutaka kuonekana na watu.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Nakuombea ๐
Neema ya Mungu inatosha kwako
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Rehema hushinda hukumu