Neno hili kuwa nafsi tatu kwa Mungu mmoja laitwaje?
Laitwa fumbo la Utatu Mtakatifu. (Lk, 3:21-22)
Kanisa linafafanuaje fumbo la umwilisho?
Linatamka kuwa Yesu Kristo ni Mungu kweli na Mtu kweli. (Ebr 4:15)
Nini maana ya neno “Fumbo”?
Fumbo ni ukweli ambao hatuwezi kuelewa kikamilifu, lakini tunasadiki kwa kuwa Mungu hutufumbulia. (Math 11:27)
Katika dini yetu yapo mafumbo hasa mangapi?
Mafumbo matatu
1. Fumbo la Utatu Mtakatifu
2. Fumbo la Mungu Kujifanya mtu
3. Fumbo la Ukombazi wetu
2. Fumbo la Mungu Kujifanya mtu
3. Fumbo la Ukombazi wetu
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Amri ya Pili ya Mungu: Tunakatazwa kuapa bure au uongo kwa Jina la Mungu
Maswali na Majibu kuhusu Liturujia
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu dini na dini nyingine?
Amri ya Nane ya Mungu: Makatazo na Amri
Mambo ya muhimu kujua kuhusu Sakramenti ya Kipaimara
Maswali yanayoulizwa sana Kumhusu Bikira Maria
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu haki na haki za binadamu?
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya watoto wachanga?