Posted: June 21, 2024
Kampeni hii inaamini kuwa watu wenye ulemavu wanayo haki na nafasi sawa kama watu wengine katika jamii, na wanastahili kuishi kwa amani na furaha kama binadamu wengine. Kwa hiyo, kampeni hii inahimiza kila mtu kwa nafasi yake kuchangia katika kuboresha maisha ya watu wenye ulemavu.
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Neema na amani iwe nawe.
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia