Posted: June 21, 2024
Kampeni hii inaamini kuwa watoto yatima ni kama mali yenye thamani inayohitaji kuwekeza sasa kwa manufaa ya baadae. Hata kama hawana wazazi, wanaweza kuwa watu wa maana na wenye mafanikio makubwa ikiwa watapata malezi sahihi na ya upendo.
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Neema na amani iwe nawe.
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia