Posted: June 21, 2024
Lengo kuu la kampeni hii ni kudumisha amani na upendo bila kuangalia tofauti zetu. Kampeni hii inaamini kuwa katika upendo kuna amani, na inafundisha kuwa upendo wa kweli ni kuwafanyia wengine vile ungependa kufanyiwa na wao. Kila mtu anapaswa kumfanyia mwenzake vile anavyopenda kufanyiwa.
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Neema na amani iwe nawe.
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia