MZEE:”sasa huyu mgeni sijui alale wap?”
MKE:”saa hizi ni usiku akalale na Bebi.”
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
JAMAA:”msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi” akalala
asubh wanakunywa chai akaibuka mrembo,jamaa akapigwa bumbuwazi almanusra ajimwagie chai.
BINTI:”Naitwa BEBI,we unaitwa nani?”
Jamaa akasema mimi naitwa Faraโฆ..!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐คฃ๐
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐๐คฃ
Hii imenipa kicheko cha siku! ๐๐คฃ
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐๐
Hii imenipa kicheko cha siku! ๐๐