Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:”sasa huyu mgeni sijui alale wap?”
MKE:”saa hizi ni usiku akalale na Bebi.”
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
JAMAA:”msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi” akalala
asubh wanakunywa chai akaibuka mrembo,jamaa akapigwa bumbuwazi almanusra ajimwagie chai.
BINTI:”Naitwa BEBI,we unaitwa nani?”
Jamaa akasema mimi naitwa Fara…..!

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Grace Minja

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Mercy Atieno

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

John Malisa

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Grace Mligo

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄

Nora Lowassa

Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop