MZEE:”sasa huyu mgeni sijui alale wap?”
MKE:”saa hizi ni usiku akalale na Bebi.”
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
JAMAA:”msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi” akalala
asubh wanakunywa chai akaibuka mrembo,jamaa akapigwa bumbuwazi almanusra ajimwagie chai.
BINTI:”Naitwa BEBI,we unaitwa nani?”
Jamaa akasema mimi naitwa Fara…..!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂
Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄
Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆