Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda kumzawadia. Mpenzi akashukuru lakini alipogundua kuwa zote ni nyeusi si akaropoka.
MY HONEY: Sasa umeninunulia chupi zote nyeusi, sasa watu si watadhani nina chupi moja tu sibadili,
Jamaa alifura akawa kama mbogo na hapo ndipo zogo kuu lilipoanza
MUME:Watu gani hao watakaokuambia unachupi moje, inamaana unawaonyesha kitumbua changu? Leo utanambia’
Ungekuwa wewe ungefanya nini?
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😂👏😅🤣
Hii imenikuna! 😆😊
🤣🔥😊
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏😂
Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣