MUME: “Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumbani kwangu, mara hoo watoto wangu. Sisi ni mke na mume, kila kitu ni chetu. Jirekebishe bwana”.👴😎😎😒
MKE: Yuko kimya anaendelea na shughuli zake za kupekua kabatini kama hasikii, na hakumjibu kitu mumewe.👵😷
MUME: Akamuuliza kwa hamaki,”Sasa hapo unatafuta nini?”.👴😡
MKE: “Sidiria yetu!!”👙💏
MUME: (kamfungia kabatini alafu kamwambia. “nipo chumbani , “)👴😷😷
💃💃💃💃💃💃
😂😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣
Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆
😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!