Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…
Kaka, mbona u mnyonge hivyo?”
Jamaa : ‘aaaaah we niache tu, kuna rafiki yangu nimemkopesha laki tano akafanye PLASTIC SURGERY ya uso, Mwanaharamu sasa nashindwa kumtambua!!!
😂😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😅 Bado nacheka!
Nimecheka hadi machozi 🤣😭
Nimefurahia hii sana! 😆😊
😁 Hii ni dhahabu!
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆