Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vikiwa vimekauka. Akaonja 1 akaona kitamu na kina chumvi! Akavila vyote. Alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa; “chumba cha UKEKETAJI WANAWAKE”. Unafikiri atakuwa amekula nini?
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆
Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥
😅😊😂👏
🤣 Kichekesho bora kabisa!
Hii ni kali sana! 😂🤣