Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg kumtaarifu kuwa atachelewa ile anatakubofya SEND kibaka akaipitia simu. Jamaa kaishia kupga kelele “bonyeza send, bonyeza send wewe” abiria wote hawana mbavu
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari
Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti
Kichekesho cha mke wa mvuvi
Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya
Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa
Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake
Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani
Mcheki Chizi na daktari