……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena kuomba msamaha… Ndugu yangu….. Msamehe…. Mpe ahadi ya ndoa, mwambie utamuoa…. iambie familia yake unataka kufanya ukarabati wa nyumba yao…… Ondoa paa lote la nyumba yao halafu TOWEKA…..
😂……… 😂…….. 😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂
😄 Kichekesho kamili!
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯
😃 Hali imeboreshwa papo hapo!
Hii ni joke ya maana sana! 😂👌