Upendo hauandamani na ubinafsi. Huwezi kusema una upendo wa kweli kama huwezi kujinyima vile unavyovipenda kwa ajili ya yule au wale unaowapenda. Upendo wa kweli ni kujitoa.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Upendo hauandamani na ubinafsi. Huwezi kusema una upendo wa kweli kama huwezi kujinyima vile unavyovipenda kwa ajili ya yule au wale unaowapenda. Upendo wa kweli ni kujitoa.
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita