Kwa hiyo Mitume na wakristu wa mwanzoni hawakuwa kumuomba wakati akiwa hai. Ila Baada ya Kifo chake na kupalizwa kwake Mbinguni walianza ibada kwake.
Kumbuka, Kifo cha Bikira Maria hakijaandikwa kwenye biblia kwa kua wakati anakufa vitabu vya biblia vilikua vimekwishaandikwa
Ndio maana anaitwa Mama wa Wakristu. Mama mbarikiwa
Rejea Ufunuo 12:1-17
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Endelea kuwa na imani!
Nguvu hutoka kwa Bwana
Mwamini Bwana; anajua njia
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Rehema hushinda hukumu