Kila kitu ni mali ya Mungu.
Kuwa na Mungu ni kuwa na kila kitu.
Hata mimi mwenyewe ni mali ya Mungu.
Kitu kimoja tu nina hakika nacho kwamba ni mali yangu binafsi nacho ni dhambi zangu😛.
Ee Mungu naomba niziungame niweze kubaki mali yako bila kuwa na kitu binafsi.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika