Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?
Dogo: Bro naomba nitumie hela.
Bro: Tumia tu mpaka uchoke.
Dogo: Hujanielewa,nitumie hela.
Dogo: Bro naomba nitumie hela.
Bro: Tumia tu mpaka uchoke.
Dogo: Hujanielewa,nitumie hela.
Ndoto zingine bwana usiombe zikupate Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naendesha gari …
Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga Read More »
Read More »Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinomaakawambia wanafunzi. ‘leo tutajifunza kipindi chadini ” wanafunzi wakiwa wanajiandaa …
Angalia huyu mwalimu alichokifanya Read More »
Read More »Hata kama ni Mgeni this is too much.
Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda?
Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka.
Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite?
Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule “Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny” anakuuliza “pckt …
Cheki huyu dingi alivyo mnoko Read More »
Read More »Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero? Hapo ndio unajua shida siyo wewe 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😂😂 …
Hapo sasa!! Ni shida!! Read More »
Read More »MCHUNGAJI; “Unakunywa bia!?
MLEVI; “Ndio.
MCHUNGAJI; “Kwa siku unakunywa bia ngapi!?
MLEVI; “Nakunywa bia tano!
Read More »1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu. 2. Hata uwe na …
Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi Read More »
Read More »Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..Sisi …
Wadada lenu hili. Mimi sipo Read More »
Read More »SIFA MBAYA…Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jamaa …
Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa Read More »
Read More »