Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write CommentsViews: 1
Recommended Posts
Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake
Cheka kidogo na wewe hapa
Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake
Hii sasa kali kweli kweli!!
Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe
Mambo ya kijijini haya!