MADENGE
HAKOSI
VISA
baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zawadi yoyote aipendayo
MADENGE: naomba pesa nikamuoe bibi maana siku nyingi amekuwa akiniita mchumba wake.
BABA: Shenzi, yule ni mama yangu mzazi huwezi kumuoa.
MADENGE: Mbona wewe umemuoa mama yangu mzazi sijasema kitu ww inakuuma? lazima nilipize kisasi ikikuuma muache mama yangu kila mtu akae na mamayake. 😂😂😂
😆 Nacheka hadi chini!
Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂
🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉