Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA

baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zawadi yoyote aipendayo
MADENGE: naomba pesa nikamuoe bibi maana siku nyingi amekuwa akiniita mchumba wake.
BABA: Shenzi, yule ni mama yangu mzazi huwezi kumuoa.
MADENGE: Mbona wewe umemuoa mama yangu mzazi sijasema kitu ww inakuuma? lazima nilipize kisasi ikikuuma muache mama yangu kila mtu akae na mamayake. 😂😂😂

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Issa

😆 Nacheka hadi chini!

Andrew Mahiga

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Sarafina

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mwagonda

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣

Sofia

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop