MADENGE
HAKOSI
VISA
baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zawadi yoyote aipendayo
MADENGE: naomba pesa nikamuoe bibi maana siku nyingi amekuwa akiniita mchumba wake.
BABA: Shenzi, yule ni mama yangu mzazi huwezi kumuoa.
MADENGE: Mbona wewe umemuoa mama yangu mzazi sijasema kitu ww inakuuma? lazima nilipize kisasi ikikuuma muache mama yangu kila mtu akae na mamayake. πππ
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Wanaume wote ni waaminifu
Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki π¦
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?
Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya
Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba
Angalia nilivyomkomoa huyu dogo
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana
Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga