Sababu, dalili na matibabu ya tatizo la kuziba kwa mrija wa mkojo

Mrija wa mkojo (urethra) ni kiungo muhimu kinachotoa mkojo nje ya mwili kutoka kwenye kibofu. Mrija huu unaposinyaa au kuziba hufanya utokaji wa mkojo kuwa wa
mashaka na maumivu makubwa. Kusinyaa/ Kuziba kwa mrija wa mkojo huitwa pia
urethral stricture.

Visababishi na vihatarishi vya tatizo hili

Kusinyaa kwa mrija wa mkojo husababishwa na kovu linalotokea katika sehemu ya
mrija baada ya mtu kuumia, kufanyiwa upasuaji au kupona magonjwa ya zinaa.

Inaweza pia kusababishwa na uvimbe karibu na eneo la kinena unaokandamiza mrija.
Vihatarishi vya tatizo hili ni pamoja na

Kuwa na historia ya kuugua magonjwa ya zinaa

kuwahi kuwekewa mipira ya mkojo au vifaa vya namna hiyo (catheter au
cystoscope)

  • Kuvimba tezi dume (BPH) kwa wanaume
  • Kuwa na historia ya kuumia au kupata majeraha maeneo ya kinena. Hii hutokea

sana kwa wale wanaopata ajali wakiendesha baiskeli

  • Kupata maambukizi ya mara kwa mara ya mrija wa mkojo (urethritis)
  • Ni nadra sana kwa tatizo hili kutokea kwa wanawake. Aidha ni nadra pia kwa

mtoto kuzaliwa akiwa na tatizo hili (congenital urethral stricture).

Dalili za tatizo hilo.

Mtu mwenye tatizo hili anaweza kuwa na dalili zifuatazo,

  • Kutoa shahawa zilizochanganyika na damu.
  • Kukojoa mkojo mweusi au uliochanganyika na damu.
  • Kupungua kwa kiasi cha mkojo kinachotolewa.
  • Kukojoa kwa shida.
  • kutoa uchafu katika mrija wa mkojo.
  • kukojoa mara kwa mara.
  • Kushindwa kumaliza mkojo wote.
  • Kushindwa kuhimili kutoka kwa mkojo (mkojo kujitokea wenyewe/kujikojolea).
  • Maumivu wakati wa kukojoa.
  • Maumivu chini ya tumbo.
  • Maumivu ya kinena
  • Mtiririko dhaifu wa mkojo (hutokea taratibu au ghafla)
  • Mkojo kutawanyika ovyo wakati wa kukojoa
  • Kuvimba uume

Uchunguzi

Daktari atakufanyia uchunguzi wa mwili na namna unavyokojoa. Uchunguzi wa mwili
unaweza kuonesha:

  • Kupungua kwa mkondo wa mkojo
  • Uchafu kutoka katika mrija wa mkojo
  • Kibofu kilichojaa/kuvimba
  • Kuvimba kwa mitoki ya maeneo ya kinena
  • Tezi dume iliyovimba au yenye maumivu
  • Kuhisi kitu kigumu chini ya uume
  • Uume kuvimba au kuwa mwekundu
  • Hata hivyo, wakati mwingine uchunguzi unaweza usioneshe tatizo lolote lile.

Vipimo

Vipimo ni pamoja na

  • Kipimo cha kuchunguza mrija pamoja na kibofu cha mkojo (cystoscopy)
  • Kuangalia kiasi cha mkojo kinachobaki katika kibofu baada ya kukojo (Post-void

residual (PVR) volume)

  • X-ray ya mrija wa mkojo (Retrograde urethrogram)
  • Vipimo vya magonjwa ya zinaa

Matibabu

Mrija unaweza kutanuliwa wakati wa kipimo cha cystoscopy na hiyo ikawa ndiyo
mojawapo ya tiba. Iwapo njia ya kutanua mrija haioneshi mafanikio sana, upasuaji
unaweza kuhitajika. Upasuaji unategemea eneo lilipo tatizo na ukubwa wa tatizo.

Kama tatizo ni dogo/fupi na lipo mbali na bawabu inayotenganisha mrija na kibofu cha mkojo,
linaweza kutatuliwa kwa kukata kasehemu kalikoziba wakati wa kufanya cystoscopy au
kwa kuweka kifaa maalum cha kuzibua na kutanua mrija.

Kama tatizo ni kubwa zaidi, upasuaji wa wazi wa eneo husika unaweza kufanyika.
Upasuaji huu unajumisha kukata sehemu iliyoziba na kisha kukarabati sehemu hiyo.

Kwa mgonjwa ambaye amepata shida ya ghafla ya kushindwa kutoa mkojo (acute
retention of urine), matibabu ya dharura ya kumuwekea catheter kupitia juu ya kinena
(suprapubic catherization) hufanyika. Hii husaidia kibofu kutoa mkojo nje kupitia kwenye
bomba lililowekwa chini ya tumbo.

Ifahamike kuwa mpaka sasa hakuna dawa ya tatizo hili zaidi ya njia za upasuaji na
nyingine zilizoelezwa hapo juu.

Matarajio

Mara nyingi matibabu huleta matokeo mazuri na mgonjwa anaweza kuishi maisha yake
kama kawaida. Hata hivyo wakati mwingine, mgonjwa anaweza kuhitaji matibabu ya
mara kwa mara ili kuondoa sehemu ya kovu iliyopo katika mrija wa mkojo.

Madhara ya tatizo hili

Tatizo hili halina budi kutibiwa haraka maana kama likiachwa linaweza kusababisha
kuziba kabisa kwa njia ya mkojo na kusababisha mkojo kujaa katika kibofu, hali
ambayo, pamoja na kuleta maumivu makali kwa mgonjwa inaweza pia kusababisha figo
kushindwa kufanya kazi (ARF).
Kinga

Ni muhimu kujikinga dhidi ya magonjwa ya zinaa kwa kufanya ngono salama au kuacha
kabisa kufanya ngono. Aidha kuwa makini na kazi au mambo ambayo yanaweza
kukusababishia kuumia maeneo ya kinena.

If you have any question or need more information, ask/search it here

More results...

Generic selectors
Exact matches only
Search in title
Search in content
Post Type Selectors
Filter by Categories
1000+ Best Jokes That You Will Find Absolutely Hilarious
1000+ Best Quotes to Brighten your Day
1000+ Inspiring Real Stories
1000+ Riddles with Answers
Afya na Ustawi wa Wanaume
Afya na Ustawi wa Wanawake
Afya ya Akili na Ustawi
Afya ya Mwili na Mazoezi
All you need to Know About Virgin Mary Mother of God Jesus Christ
Amazing Real African Stories
Best Christian Quotes to Support your Faith
Best Health and Wellness Improvement Tips
Business and Entrepreneurship Secrets
Business Innovations Development Secrets
Business Planning and Strategic Management Tips
Career Development and Success Techniques
Chemsha Bongo: Maswali na Majibu
Christian Articles to Build your Faith
Christian Reflections to Build your Faith
Christian Teachings to Strengthen Your Faith
Climate and Environment
Communication and Interpersonal Skills Techniques
Community and Social Development
Decision Making and Problem Solving Strategies
Detailed Elaboration of Global Contemporary Issues
Dhana ya Muungano wa Mataifa ya Afrika: Mikakati ya Kuunda "United States of Africa"
Digital Marketing Tips
Disease Prevention and Management
Dondoo za Mapishi na Lishe
Dondoo za Urembo na Mitindo
Emotional Well-being Techniques
Entrepreneurship Development: Secrets of Becoming a Successful Entrepreneur
Fahamu kwa Undani Kuhusu Bikira Maria: Mama wa Yesu Kristo na Mama wa Mungu
Family/Parenting, Love and Relationship Techniques
Finance and Money Matters Techniques
Financial Management and Wealth Creation Tips
Financial Management Tips for Your Business
Fitness and Exercise
Funny Questions with answers
Global Cooperation for Peace and Unity
Global Poverty Alleviation and Sustainable Development
Global Sustainable Resources Utilization and Environment Conservation
Hadithi nzuri za Mafundisho kwa Ajili ya Watoto
Hadithi za Kiswahili: Historia, Mapenzi na Maisha
Hadithi za Kusisimua za Matukio ya Kweli ya Kihistoria
Hadithi za Kusisimua: Hadithi za Biblia
Hali ya Hewa na Mazingira
Health and Lifestyle Tips and Techniques
Healthy Aging and Longevity
Healthy Cooking and Meal Preparation
Healthy Habits and Behavior Change
Ifahamu Huruma ya Mungu
Injili na Mafundisho ya Yesu
Inspiring Historical Stories From all Over the World
Inspiring Stories From All Over the World
International Relations and Cooperation
Intimacy and Connection Building Tips
Jinsi ya Kuboresha namna Unavyowasiliana: Ujuzi wa Mawasiliano
Jinsi ya Kujijengea Mtazamo na Fikra Chanya
Kujenga Jamii na MIji Endelevu
Kupunguza Umaskini na Maendeleo Endelevu
Kuvunjika kwa Mahusiano ya Mapenzi: Kuvunjika na Uponyaji
Kuzuia na Usimamizi wa Magonjwa
Lishe na Ulaji wa Afya
Maendeleo ya Jamii na Kijami
Mafundisho Makuu ya Dini: Makala za Dini
Mafundisho Makuu ya Upendo Wa Kipekee Wa Mungu
Mafundisho ya Katekisimu
Mafundisho ya Msingi ya Kanisa Katoliki: Makala za Katoliki
Mafundisho ya Nguvu ya Damu ya Yesu
Mahusiano ya Kimataifa na Ushirikiano
Maintenance of Spirituality and Inner Peace
Makala za Tafakari Kwa Wakatoliki
Malezi na Afya ya Familia
Mambo Muhimu ya Msingi Unayopaswa Kufahamu Kuhusu Afrika
Mambo ya Sasa ya Amerika ya Kaskazini na Kusini
Management of African Natural Resources for African Economic Development
Masomo ya Misa ya Kanisa Katoliki
Mastering Leadership and Human Resources Management
Matumizi Endelevu ya Rasilimali na Uhifadhi wa Mazingira
Mbinu za Kilimo na Ufugaji Kukuongezea Mapato
Mbinu za Kubadilisha Mfumo wa Mawazo na Kujenga Tabia Chanya ya Waafrika
Mbinu za Kuboresha Afya na Ustawi wako Binafsi
Mbinu za Kuboresha Afya ya Kihisia Katika Mahusiano
Mbinu za Kufanya Maamuzi na Kutatua Matatizo: Uamuzi na Ushughulikiaji wa Matatizo
Mbinu za Kujengea Afrika na Waafrika Uhuru na Uwezo wa Kujitegemea
Mbinu za Kukufanya Uwe Mjasiriamali Mwenye Mafanikio: Maendeleo ya Ujasiriamali
Mbinu za kukuza Ujasiri wa Kibinafsi na Heshima ya Kujiamini
Mbinu za Kuongeza Ukaribu na Ushirikiano
Mbinu za Kupangilia Biashara na Usimamizi Mkakati
Mbinu za Kusimamia Pesa na Mambo ya Kifedha kwenye Mahusiano
Mbinu za Kutunza Familia na Malezi ya Watoto
Mbinu za Kuwa na Maendeleo ya Kazi na Mafanikio
Mbinu za kuwa na Maisha Mazuri ya Kikristo
Mbinu za kuwa na Misingi imara ya Upendo na Mapenzi
Mbinu za Mauzo na Masoko Kuboresha Biashara Yako
Mbinu za Mawasiliano na Ujuzi wa Mahusiano
Mbinu za Ubunifu Katika Biashara na Maisha: Maendeleo ya Ubunifu
Mbinu za Ujasiriamali na Biashara Kufanya tofauti
Mbinu za Uongozi na Ushawishi
Mbinu za Uongozi na Usimamizi wa Rasilimali Watu
Mbinu za Usimamizi wa Fedha Katika Biashara
Mbinu za Utatuzi wa Migogoro
Mbinu za Uwezo wa Kihisia na Ujuzi wa Kujitambua
Meditation and Yoga
Men’s Health and Wellness
Mental Health and Well-being
Methali za Kiswahili na Maana zake
Mikakati ya Uhifadhi wa Utamaduni na Urithi wa Kiafrika
Mipango na Mikakati ya Usimamizi wa Maliasili za Afrika
Misemo ya AckySHINE
Misingi ya Ndoa Yenye Mafanikio: Ndoa na Kujitolea
Nguvu na Uwezo wa Roho Mtakatifu
Njia za Kujenga Udini na Amani Yako ya Ndani
North and South America Contemporary Issues
Nukuu ya Mistari ya Biblia
Nukuu za Dini
Nutrition and Healthy Eating
Parenting and Family Health
Pembejeo Bora za Kilimo: Bidhaa za Kilimo
Personal Development Strategies and Tips
Promotion of Good Governance and Management of Social Services
Promotion of Sustainable Cities and Communities
Recommended African Development Strategies for Building Independent and Self Reliance Africa Community
Recommended Beauty and Fashion Tips
Recommended Christian Daily Readings
Recommended Conflict Resolution Tips
Recommended Emotional Intelligence and Self-Awareness Tips
Recommended Family and Parenting Techniques
Recommended Leadership and Influence Techniques
Recommended Relationships and Social Skills Techniques
Recommended Strategies for Preservation of African Culture and Heritage
Recommended Technique to Build Self-Confidence and Self-Esteem
Relationship Breakups and Healing Tips
Sala za Katoliki: Sala Muhimu Kwa Mkristu Mkatoliki
Sales and Marketing Tips for Your Business
Sayansi, Teknolojia, na Ubunifu
Science, Technology and Innovation
Selected Christian Prayers to Support your Prayer Life
Shine Ads
Siri ya kuwa na Familia Nzuri ya Kikristo
Siri za Familia, Mapenzi na Mahusiano
Siri za Kuwa na Afya Bora na Utimamu
Siri za Mahusiano Bora na Ujuzi wa Mambo ya Kijamii
Siri za Nguvu ya Jina la Yesu
Siri za Usimamizi wa Fedha na Utengenezaji wa Utajiri
SMS za AckySHINE: SMS Nzuri za Mapenzi na Mahaba Kwa Mpenzi Wako
Special Dedications: 1000+ SMS Messages to Build your Love Life
Stadi za Maisha: Mbinu za Maisha ya Kipekee
Strategies on Changing Mentality and Building Positive Mindset
Strategies to Strengthen your Marriage and Build Commitment
Strategies to Unite Africa: Building a Better World for African Community
Strategies Towards Formation Of The United States Of Africa
sw-picha
Tabia Njema za Afya na Badiliko la Mwenendo
Tafakari ya Kina na Yoga
The Best Love and Romance Techniques
Tips to Develop Positive Mindset and Positive Thinking
Ujana na Makuzi | Mapenzi na Ngono Salama
Ukombozi kutoka Utumwa Wa Dhambi na Shetani
Umoja na Ushirikiano wa Jumuiya ya Kanisa
Umoja wa Afrika: Mikakati ya Kuunganisha nchi na Watu wa Afrika
Understanding African Development: All You Need to Know About Africa
Understanding Communication Skills and Technics
Upishi na Maandalizi ya Milo yenye Afya
Usawa wa Kazi na Maisha
Ushirikiano wa Kimataifa kwa Amani na Umoja
Usimamizi wa Uzito na Taswira ya Mwili
Utawala Bora na Usimamizi wa Huduma za Kijamii
Uzee Mwema na Maisha Marefu
Vichekesho vipya 1000+: Vichekesho vya AckySHINE
Videos in English
Videos za Kiswahili
Weight Management and Body Image
Women’s Health and Wellness
Work-Life Balance
Yafahamu kwa Undani Mambo ya Sasa ya Kimataifa
Melkisedeck Leon Shine

Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp

Read and Write Comments

Views: 2

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart