Mambo mhimu ya kuzingatia
1. Fanya mazoezi ya viungo kwa saa moja kila siku
2. Kunywa maji mengi kila siku
3. Ondoa mfadhaiko (stress)
4. Weka homoni sawa kama hazipo sawa
5. Kuwa msafi wa mwili wote kila mara
6. Usiziguse chunusi au kuzitoboa na mikono yako au na chochote kuepuka makovu yasiyo ya lazima
7. Epuka vyakula vifuatavyo kama unasumbuliwa na chunusi kila mara, navyo ni pamoja na:
a)Vyakula vyenye mafuta sana
b)Vyakula vinavyopikwa katikati ya mafuta mengi
c)Kahawa
d)Chai ya rangie)
e)Pombe na vilevi vingine
f)Chokoleti
g)Popcorn
h)Maziwa
i)Mapera
j)Vyakula vya kwenye makopo
k)Pizza
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jinsi ya kutibu chunusi kwa kutumia aloe vera
Madhara ya kunywa soda
Jinsi ya kutibu chunusi kwa kutumia kitunguu swaumu
Kutibu chunusi kwa ute mweupe wa yai
Mambo ya Msingi kujua kuhusu rangi ya mkojo wako
Faida za Korosho Kiafya
Matumizi ya kahawa kutibu presha ya kushuka au shinikizo la chini la damu
Namna ya kutibu chunusi kwa kutumia asprin