Ka ni wewe?
DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao.
BABA: Kwanini unasema hivyo?
DOGO: juzi walisema 3+4= 7, jana wakasema 1+6=7, halafu leo wanasema 5+2=7 sasa huoni kama wanatuchanganya.
ungekua wewe ungemjibu nini
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣
Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂
😂 Ninaihifadhi hii!
Nimefurahia sana hii! 😅😊