MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela baby☺
MKAKA: WW nae kwa kupenda hela jana tu nmekupa hela Leo unaomba ya nn 😖
MDADA: hapana😌 Bby sio hivyo nlikua nataka nikashuhudie tetemeko la ardhi BUKOBA nasikia huko linaonekana vizur .
😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanawake kumbukeni sio vizuri
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😅 Bado ninacheka!
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂
Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆
Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆
🤣😄😊