Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. 😄😄
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Kama kawaida! Bado nacheka! 😄
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅
🤣🤣😄😆
Hizi jokes ni za ukweli! 😆👍
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆