Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanisha Nini?
Mume: Nitaondoka ijumaa na Kurudi j3..
Mke: Unanishangaza, kama utafanya hivi nami nitafanya kama Maria..
Mume: Unamaanisha Nini?
Mke: Nitapata mimba bila ya kuingingiliwa na wewe mume wangu..
Mume: 😳😳😳
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🤣😆😊😂
🤣 Hii imewaka moto!
Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! 😆
Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏