Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?
MKAKA: Samahani sanaโฆ.jamaa akachukua Galaxy yake akapiga simuโฆ.aise saa ngapi saa hizi? mi ndio nimeingia toka USA nataka kurekibisha saa yangu ifwate muda wa huku. Na wewe uwahi kuchukua iPad nimekuja nazo tatu tu za zawadi. Halafu ntafutie mtoto mzuri nimumwagie midola niliyokuja nayo, ok ciao tuonane badae.
MDADA: Kaka samahani saa hizi ni saaโฆ..
MKAKA: Achana na mimi wewe
Ha ha ha ha haaaaa!!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐ Hali imeboreshwa papo hapo!
๐ Ninacheka sana sasa hivi!
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! ๐
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐๐
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐๐